iqna

IQNA

kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na idadi kubwa ya walimu nchini Iran na akasema: Ni jambo lisilowezekana kuvuka njia ngumu za maendeleo ya pande zote ya nchi bila ya msaada na mchango wa sekta ya elimu na malezi.
Habari ID: 3476949    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, jamii ya wafanyakazi wa viwandani haijakubali kutumiwa vibaya na adui na wanaolitakia mabaya taifa la Iran.
Habari ID: 3476930    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: mkakati wa sasa wa Ulimwengu wa Kiislamu inapasa uwe ni kuwasaidia na kuwaimarisha wapigania ukombozi ndani ya Palestina.
Habari ID: 3476902    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/22

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa iwapo hatua za kimantiki zitachukuliwa, inawezekana kushindwa mahesabu ya adui
Habari ID: 3476877    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/16

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, matukio ya kisiasa ulimwenguni yamekuwa yakitokea kwa kasi na wakati huo huo yamekuwa katika mkondo wa kudhoofisha kambi ya maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476813    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05

Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa munasaba wa Nowruz
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ametuma ujumbe kwa mnasaba wa Nowruz (Nairuzi) ambayo ni siku kuanza mwaka mpya wa 1402 Hijria Shamsia ambapo ametoa pongezi kwa wananchi wa Iran na mataifa yote yanayosherehekea Nowruz.
Habari ID: 3476735    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwa mataifa yanayozungumza Kihispania
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika salamu zake kwa mataifa yanayozungumza Kihispania juu ya kuzidi kujuana na kushirikiana mataifa yanayotetea haki na uadilifu.
Habari ID: 3476691    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11

Iran
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kadhia ya kupewa sumu wanafunzi hapa nchini ni uhalifu mkubwa na haiwezi kuachiwa.
Habari ID: 3476666    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Alkhamisi ameonana na wajumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Iran na kusisitiza kuwa, msingi madhubuti na imara wa uungaji mkono wa wananchi kwa Jamhuri ya Kiislamu ni hoja kamili kwa viongozi na maulamaa wote.
Habari ID: 3476615    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

Kongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezikosoa nchi za Kiislamu kwa kutochokua hatua yoyote ya maana juu ya kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3476581    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na maelefu ya watu kutoka mji wa Tabriz na kusisitiza kuwa: "Ujumbe wa taifa katika matembezi ya Bahman 22 (11 Februari) ulikuwa ni istikama na kuunga mkono Mapinduzi kikamilifu"
Habari ID: 3476567    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/15

Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN(IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina, Ziyad al-Nakhalah amemtumia ujumbe Kiongozi Muadhamu wa Mapiinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei akimpongeza kwa mnasaba wa kutimia miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
Habari ID: 3476551    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na mamia ya makamanda na wafanyakazi wa Kikosi cha Anga na Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Iran na kusema: "Bahman 22 (11 Februari) mwaka huu itakuwa madhihirisho ya umoja wa kitaifa," na kuongeza kuwa, "Bahman 22 mwaka huu itakuwa ni dhihirisho la izza na kuaminiana wananchi pamoja na umoja wa kitaifa."
Habari ID: 3476530    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08

Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa msamaha na punguzo la vifungo kwa makumi ya maelfu ya watuhumiwa na wafungwa kwa mnasaba wa kuwadia maadhimisho ya miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na sikukuu za mwezi wa Rajab.
Habari ID: 3476518    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06

Kwa mnasaba wa maadhimisha ya mwaka wa 44 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezuru haram toharifu ya Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kumuenzi na kumsomea Faatiha kiongozi huyo mwenye adhama kubwa wa taifa la Iran.
Habari ID: 3476493    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika kikao chake na mamia ya wazalishaji, wajasiriamali na wanaharakati katika nyuga zinazoegemea elimu kuwa, mustakbali wa taifa na matarajio ya maendeleo ya Iran ni angavu zaidi kuliko utabiri wa hivi sasa.
Habari ID: 3476491    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa taarifa kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kiwendawazimu chini ya nara ya 'uhuru wa maoni' ni ishara kuwa uistikbari unalenga Uislamu na Qur'ani Tukufu."
Habari ID: 3476465    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

Ulinganiaji
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei ameitaja mipango ya kuendeleza bidhaa za kitamaduni kwa kuzingatia fikra mpya na ufahamu wa matakwa ya kijamii na kiutamaduni kama jukumu muhimu la mashirika ya kitamaduni nchini Iran.
Habari ID: 3476426    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mpango jumla wa adui umegonga mwamba kwa sababu mahesabu yao yalikuwa ghalati na irada ya Jamhuri ya Kiislamu ilikuwa na nguvu zaidi.
Habari ID: 3476390    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja matukio ya mabadiliko ya historia kuwa yana uzoefu mkubwa wa kujifunza au yanaashiria sunna ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476379    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/09